MUIGIZAJI BEN GAZZARA AFARIKI DUNIA

Muigizaji wa siku nyingi nchini marekani anyefahamika kwa jina la Ben gazzara amefariki dunia akiwa na umri wa miak 81 ijumaa hii katika hospital ya manhattan. mwanasheria wake kathibitisha hilo na kuongezea kuwa Ben amefariki dunia baada ya kusumbiliwa na ugonjwa wa pancreatic cancer. moja ya kazi zake ni ile cartoon ya Anatomy of a Murder ya mwaka 1959 n.k

Comments