UMEMTUMIA SMS YA MAPENZI DADA YAKO KIMAKOSA

Hv meseji kama hii ''sikujua kama ni mtam xana dia kwa yale mambo yako ya jana usiku.Nahaidi cko tayari kukuacha kwa kuwa umeshanionjesha'' ulitaka kum2mia mpenzi wako uliyempata wiki mbili zilizopita.Bahati mbya unai2ma kimakosa kwenda kwa namba ya dada/kaka yako ambaye mnakaa nyumba moja familia nzima.Kwa sababu majina yameanza na herufi znazofanana Wakati huo hyo cmu ya dada/kaka yako ameshka mzazi wenu na sms inaingia akiwa ameishka yeye ameanza kuisoma. Je nini kitafuata??

Comments