JAZMINE SULLIVAN ARUDI TENA KATIKA MUSIC

     Aliwahi kuandika katika wall yake ya tweeter kwamba anapumzika kwa muda kujihusisha na masuala ya muziki,lakini kwa maranyingine tena ametangaza kuwa sasa anarudi tena katika gemu kama kawaida ili kukamilisha albamu yake ya 3,
     Msanii huyo wa  alisema hivi "nimerudi tena kwa ajili ya album yangu mpya"

Sulllivan ambaye ni kinara wa wimbo wa "dream big "yupo mbioni kuachia album yake mpya mapema mwaka huu ,lakini bado hajaweka wazi itaitwaje.

0 comments:

Post a Comment

sema nasi hapa!!