MWANAFUNZI AANDIKA VERSI KATIKA KARATASI YAKE YA MTIHANI 0 LEVEL 2011

         IKIWA NI SIKU MOJA TU TANGU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2011 YAMETOKA,TAYARI VITUKO VIMEANZA KUONEKANA BAADA YA KUTANGAZWA KWAMBA BAADHI YA WANAFUNZI WALIOFANYA MTIHANI HUO WALIANDIKA  MADUDU KATIKA "PEPA"HILO.
   MOJA YA MADUDU NI PALE MWANAFUNZI MMOJA ALIPOANDIKA HIVI KATIKA KARATASI YAKE YA  MAJIBU “nashukuru sana wote wanaosahihisha huu mtihani wangu, nitakapofeli nitaendelea na fani yangu ya bongo fleva, majita yangu yako levo za juu na sio East zuu, ukiona vyaelea ujue vimeundwa”

HATA HIVYO Baraza la mitihano la Taifa (NECTA) limewafutia matokeo yao watahiniwa elfu 3,303 baada ya kugundulika kufanya udanganyifu na kutumia lugha chafu kwenye mitihani yao ya kidato cha nne iliyofanyika oktoba 2011.

Matokeo hayo ambayo ni mabaya sana kulinganisha na miaka mingine ya nyuma.


kupata matokeo hayo bonyeza link hiyo hapo chini 

Comments

  1. Background ya Blogu yako ina rangi kali,maandishi hayasomeki kiabisa..

    ReplyDelete

Post a Comment

sema nasi hapa!!