BARNABA WA THT KUIMBA NA FALLY IPUPA

       MSANII WA BONGOFLAVA BARNABA ANATARAJIA KUONDOKA NCHINI KUELEKEA UFARANSA KWA AJILI YA KUREKODI WIMBO WAKE MPYA WA "TUACHANE KWA WEMA"
BARNABA AMBAYE KWA SASA ANATESA NA WIMBO WAKE WA MAGUBEGUBE,AMEYASEMA HAYO WAKATI AKIHOJIA NA MTANDAO MMOJA WA HABARI NCINI."
barnaba tuzooooooooo.jpg

''Unajua katika ndoto zangu za kimuziki nimekuwa na ndoto siku nyingi ya kurekodi na mastaa wa ukweli Duniani, na Fally ni mwanzo tu kwani wapo wengine ambao tayari nimeshawasiliana nao pande za mamtoni ambao tayarikama watatu wamekwisha nithitishia kunipa 'shavu' katika miongoni mwa nyimbo zangu kadhaa ambazo nyingine zitakuwa ni katika albam yangu ijayo baadaya hii. Hata Fally pia alikuwa akitamani kurekodi na mimi tangu nilipo mpagawisha katika moja ya shoo yake alipokuja nchini na kuipenda sauti yangu, kwa hiyo naye nipi ni nafasi yake pekee aliyokuwa akiitamani ambayo amefanikiwa'' alisema Barnaba Barnaba na kuongezea kuwa hayo ni maandalizi ya  album mpya amabayo itakuwa na nyimbo kama kumi hivi

barnaba.jpg


WIMBO MWINGINE WA BARNABA NI HUU HAPA UNAOITWA SIPENDI DHARAU

0 comments:

Post a Comment

sema nasi hapa!!