KUNA WASANII WA BONGO WAMEPOTEA...ILA HAWA WAMEPITILIZA

Kutokana na jinsi walivyoingia vizuri katika gemu la muziki kiasi kwamba walifanikiwa kuziteka nyoyo za mashabiki wengi na kuwafanya wategemee mengi zaidi katika upande wa burudani kutoka kwao,wasanii hawa wafuatao wameonekana kupoteza kabisa dira katika sanaa ya muziki....sijaweza kujua nani yupo wapi au anafanya nini saivi ila kwa kifupi ule ukali wao waliouonesha enzi wanaanza muziki umepotea kwa asilimia 90 kama sio 100...Kama ni mfuatiliaji mzuri wa muziki utakuwa unajua nini namanisha mara baada ya kuorodhesha majina yao hapo chini

MUUMIN MWINJUMA

BUSHOKE


 SISTA P



D KNOB
 

DAZ BABA
MH TEMBA
SUMA G

KING CRAZY GK

INSPECTOR HAROUN


SIR NATURE KIBLA  


  
  BESTA


ENIKA
RAS LION

K LYINN
SAIDA KAROLI

RAY C

TOX STAR