kama bado hujacheka leo..soma hapa basi


Jamaa alikuwa safarini, gari likamharibikia kijijini akaomba hifadhi akakaribishwa,
baada ya kuoga na kula.
MZEE:"sasa huyu mgen sijui alale wap?"
MKE:"saa hz ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mm naitwa fara.....
.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
<b>Jamaa alikuwa njiani anaenda kanisani, si akashtuka kukumbuka kuwa ameacha simu yake nyumbani. Haraka akageuza njia na kuanza kurudi nyumbani, alipofika home presha ikiwa juu bahati nzuri akauta mkewe hajaamka akaichukua simu yake na kuvunja safari ya kwenda kanisani akaanza kuangalia TV, mkewe alipoamka akamkuta jamaa kajaa tele sebuleni,

MKE: Jamani si nilidhani umeenda kanisani?

JAMAA: Mchungaji kanitext kasema leo hakuna ibada</b>
,............................................

,..........................................................
<b>uwalimu kweli kazi.
Mwl: Students, let's show our guests and our principle how far we have reached.
Mwl: When i say BIG, u finish the order by saying BIGBIGER BIGEST.
Mwl: Small
Dents: small, smaller smallest.
Mwl: Thin,
Dents: thin, thiner, thinest.
Mwl: tall
Dents: tall, taller, tallest.
Mwl: Good
Dents: good, gooder, goodest.
Mwl: Ok,
Dents: ok, oker, okest
Mwl: enough
Dents: enough,enougher enoughest.
Mwl: I say stop
Dents: i say stop, i say stoper,i say stopest.
Mwl: O my lord
Dents: o my lord, o my lorder, o my lordest.

Ungekua wewe ungefanyaje</b>

,........................................
,..............................................,
Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza mmoja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?
MKAKA: Samahani sana....jamaa akachukua Galaxy yake akapiga simu....aise saa ngapi saa hizi? mi ndio nimeingia toka Marikani nataka kurekibisha saa yangu ifwate muda wa huku. Na wewe uwahi kuchukua iPad nimekuja nazo tatu tu za zawadi. Halafu ntafutie mtoto mzuri nimumwagie midola niliyokuja nayo, ok ciao tuonane badae.
MDADA: Kaka samahani saa hizi ni saa.....
MKAKA: Achana na mimi wewe
,..........................................
,...........................................
,...............................................
..Baba, mama na mtoto wao wamelala, ghafla usiku
MTOTO:mamaa nataka nikakojoe
MAMA:chukua tochi
mtoto akanyoosha mkono anatafuta tochi kumbe baba kalala uchi mtoto akashika naniihino X_X ya baba yake akidhani tochi.
BABA(kwa kuzuga):we acha hiyo haina betri...

,....................................................
,.....................................................
.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
..0. Una sura ngumu mpaka nikikupga picha inajisave kwenye tools

1.Wewe ni mweusi hadi ukibeba mtoto anasinzia anajua giza limeingia!

2. Kwenu mpo wengi mpaka mtoto wa mwisho anaitwa etc.

3. Dingi ako kazoea ku endesha baiskel hata akipanda gari anakunja surual.

4.kwenu muko wengi mpaka babako akiingia anasema hamjambo wananchi...

5.Una macho mekundu, ukiangalia maindi yanaiva... -Maindi mchomo-

Vichaa waliambiwa watengeneze TV kwakutumia mabox.Siku ya kuleta TV vichaa wote wakaleta mabox yao kasoro mmoja aliyekuja na karatasi.
Dokta akahisi amepona,akamuuliza we vp mbona umeleta karatasi?
Kichaa: Hamna dokta hii ni FLAT SCREEN.




Mume mvivu aambiwa na mke wake :mume wangu si unisaidie kazi za bustani MUME: kwani mi ni houseboy? MKE: basi nisaidie kutengeza mlango MUME: kwani mi ni carpenter? MKE: basi nisaidie kutupa taka taka,: MUME: kwani mi ni munisper? (mume aliporudi jioni)mke wangu nani amesafisha bustani,akatengeza mlango na kutupa taka? MKE:ni jirani ye2 swaleh lakini alinipa options mbili nimpe wali ama nilale nae, MUME:hahaha,najua ulimpa wali, MKE: Kwani mi ni hoteli?nililala nae kwa taarifa yako