IMEFAHAMIKA KUWA..LINDSAY LOHAN ANAISHI MJINI KUTEGEMEA MIDUME MITATU TOFAUTI..






Wote tunajua kwamba mwanamuziki na muigizaji huyo Lindsay hayupo vizuri kifedha sasa hivi...Lakini je anawezaje kuishi vizuri na maisha ya viwanja vya starehe kila weekend akijiachia?? ...

Mtandao mmoja wa habari za mastaa wa mbele umeripoti kuwa mdada anawezeshwa na mapedeshee watatu wakubwa kwa nyakati tofautitofauti.

PRINCE
Vikram
Mtu wa kwanza aliyetajwa kuwa ni sugar daddy wa lohan ni billionaire playboy Prince Haji Abdul Azim.ambaye inasemekana wamewahi kukutwa katika  party moja huko london na azim alimuwezesha kama $100k hivi.

Mtu wa pili aliyetajwa  ni Vikram Chatwal ambaye mara kadhaa pia wamekutwa sehemu tofauti tofauti wakila bata.Vikram Chatwal ni mmiliki wa hotel moja kubwa huko london.

Na mtu wa tatu ni Mwanamuziki wa kimarekani Domingo Zapata ambaye wamewahi kukutwa katika moja ya hotel za kifahari iitwayo New York Bowery Hotel na wakakaa humo wakila goodtime kwa siku kadhaa...huh!!!!!