HIKI NDICHO KILICHOJIRI EATV AWARDS 2016 MPAKA KUFIKA LEO HII
TUZO za EATV zimeanzishwa mwaka 2016 na kampuni ya East Africa
Television na Radio, zitafanyika kwa mara ya kwanza tarehe 10/12/2016
jijini Dar Es Salaam,Tanzania.
Tuzo hizi zinashirikisha wasanii wa muziki na filamu kutoka nchi za
Afrika Mashariki na zitakuwa zikifanyika kila mwaka, huku vipengele vya
tuzo vikiongezeka kila mwaka kutoka vipengele kumi vinavyoshindaniwa
mwaka huu.
Kuanzishwa kwa tuzo hizi kuna lengo la kuthamini wasanii na kuleta
ushindani kwenye sekta hii ya sanaa kwenye ukanda huu wa Afrika
Mashariki.
MUIGIZAJI BORA WA KIUME
Nominee: Saidi Ally filamu aliyoigiza (Ndugu wa mume)
Nominee: Meya Shabani Hamisi filamu aliyoigiza (Facebook profile)
Nominee: Salim Ahmed (Gabo) filamu aliyoigiza (Safari ya Gwalu)
Nominee: Dotto Husein Matotola filamu aliyoigiza (Likwacha lala)
Nominee: Daudi Michael Tairo filamu aliyoigiza (Mfadhili wangu)
MWANAMUZIKI BORA CHIPUKIZI
Nominee: Amani Hamisi (Man Fongo); Wimbo - Haina Ushemeji
Nominee: Feza Kessy; Wimbo - Sanuka
Nominee: Rukia Jumbe (Rucky baby) ; Wimbo - Give Me Some More
Nominee: Mayunga Nalimi (Mayunga) ; Wimbo - Nice Couple
Nominee: Rashid Said (Bright) ; Wimbo - Nitunze
KUWAJUA NOMINEES WOTE BOFYA HAPA
0 comments:


