VIBAKA WAMVUNJA MGUU NAOMNI CAMPBELL


Hii imetokea hicvi karibuni katika mji paris akiwa na rafiki yake,pale aliposhtukia akipigwa kikumbo  na watu wawili  na kumfanya adondoke chini kabla hajafanikiwa kukimbia na  pochi yake ya mkononi ambayo ndio ilipigiwa mahesabu na vibaka hao

Tukio hilo lilimfanya atembelee baiskeli ya magurudumu  manne kwani alipata maumivu ya katika miguu yake

Comments