haya ndio mashairi ya wimbo wa diamond @kesho

 
Song: Kesho
Studio: Mj-Recordz
     {Chorous}
=i> Mi nataka kesho twende nikupeleke nyumbani
       nataka kesho twende ukamuone mama x2
       {Verse 1}
 =I> Kwanza kabisa ntanyonga Tai
       T"shirt na Jeans ntatupa kidogo..
       Unite Nasibu usiniite Dai
       Asije kukuona muhuni akapandisha Mbogo...
       Naukifika uagize Chai
       Savanna Takila uzipe kisogo...
       Kuhusu mavazi kimini haifai
       Tupia pendeza ila za Hekima Logo...
=I> Even though wanaponda eti we ni kicheche
       Waambie ndoo  chaguo langu sasa wanicheke x2
       
Chorous}
 =I> Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
        Nataka kesho twende ukamuone mama x2
        {Verse 2}
        Usilete swaga za Nainai
        Ukanyoa kiduku kama Moze Iyobo..
        Eti shoping twende Tai
        wakati Dadaangu anaduka kigogo..
        Ukikuta Nguna usikatae
        we zuga unapenda hata kama wa Muhogo..
        Kuhusu kabila mbona Sadai
        Mama angu hana noma hata kama Mgogo
 =I> Even though wanaponda eti we ni kicheche
        Waambie ndoo  chaguo langu sasa wanicheke x2
        
{Chorous}
  =I> Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
         Nataka kesho twende ukamuone mama x2
Bridge
Mama yangu mama...
Mama Naseeb mama...
Mama Diamond mama...
Mama yangu nyumbani...
Mama Chali mama...
Mama Sepetu mama...
Mama Kidoti mama...
Kwa mama Diamond nyumbani...

        {Chorous}
  =I> Minataka kesho twende nikupeleke nyumbani
         Nataka kesho twende ukamuone mama x2

Comments