HAWA NDIO MATAJIRI WAKUBWA WATANO(5) DUNIANI

 

Carlos Slim Helu - NAMBA 1

Alizaliwa  January 28, 1940 na ni ni mkurugenzi wa makampuni makubwa ya mawasiliano Telmex and America Movil.mpaka kufika march 2011 alikuwa Anamiliki utajiri wa $74 billion.

 

 

 

 

Bill Gates  NAMBA 2 

Alizaliwa  October 28, 1955 na huyu ni ni mfanyabiashara pia ni muwekezaji mkubwa wa kampuni mbalimbali. pia ni mwenyekiti wa kampuni ya microsoft.Anamiliki utajiri wa $56 billion.

 

 

 

 

Warren Buffett 

Alizaliwa  August 30, 1930 na huyu ni ni mfanyabiashara pia ni muwekezaji mkubwa wa kampuni tofauti tofauti.Anamiliki utajiri wa $50 billion.

 

 


Bernard Arnault

Alizaliwa  5 March 1949 na huyu ni mfanyabiashara wa kifaransa pia ni CEO wa kampuni ya French conglomerate LVMH Anamiliki utajiri wa $41 billion.

 

 

 

 

Larry Ellison 

Alizaliwa  August 17, 1944  huyu ni mfanyabiashara pia ni CEO wa kampuni ya Oracle, Anamiliki utajiri wa $35 billion.