TAIFA STARS VS DRC 23 FEB
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF kupitia kwa Ofisa Habari
wake, Boniface Wambura; mechi itachezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es
Salaam ambapo viti vya kijani na bluu vinachukua watazamaji 36,693
ambayo ni karibu theluthi mbili ya viti vyote kwenye uwanja huo wa
kisasa na kiingilio kitakuwa ni tsh 2000/- kwa viti hivyo.
![]() | ||
| DRC |
![]() | ||||||||||
| TAIFA STARS |
0 comments:



