JE UNA MPENZI WA NJE??? FANYA HIVI USIGUNDULIKE

ILI UJUMBE WAKO WA KUTAFUTA RAFIKI AU MCHUMBA UENDE HEWANI TUMA TSH 500 KWENDA MPESA 0762698698 AU TIGO PESA 0719698698

NAMBA YA KUTUMA SMS NI 0719698698

1. Mara umalizapo kusoma txt mesej
ya muasherati mwenzio futa
2. Ukisev majina kwenye simu yako
tumia majina kama Fundi Bomba,
Fundi friji, Mama wa TRA, na
kadhalika
3. Siku ya mpambano msitumie
pafyumu, na kamwe msitumie zile
sabuni EVA zinazotolea bure gest.
4. Wanaume mkitoka kwenye eneo la
tukio, ni muhimu kutafuta mahala
penye watu wengi na kujichanganya
kisha kumtaarifu waif kuwa uko huko,
ukirudi na harufu ya ajabu inakuwa
rahisi kujieleza wapi ulipata harufu
hiyo..
5. Unapoamua kwenda kwenye tukio
vaa kikawaida sio kutia mavazi ya
ajabu inakuwa rahisi kuonekana na
wambeya.
6. Matukio yawe yanapangwa siku na
saa za kazi, hasa wakati wa mchana.
7. Usibadilike tabia ukisha pata
mwenza wa pembeni, wajinga
wengine huanza dharau nyumbani au
ukali usio na sababu au hata
kutokujali watoto.
8. Usianze tabia ya kuzima sima
ukiwa home, kimsingi weka utaratibu
wa simu kuwa silence siku zote, sio
kuanza tabia hiyo ukipata kisamsing
cha pembeni.
9. Usiruhusu urafiki kati ya mkeo/
mumeo na rafiki zako.
10. Daima uwe unaongea mabaya
kuhusu muasherati mwenzio ikiwa
anafahamika hapo home, ikiwezekana
mzulie kaskendo hata kuanzisha
hadithi kuwa muhusika ana ngoma.

JAMANI HII NIMEITOA SEHEMU FULANI NA NILICHEKA SANA NIKAONA BORA NIILETE HAPA ILI TUCHEKE WOTE!!! ILA SIKUSHAURI KUWA NA WAPENZI WENGI