BINTI MREMBO UNAHITAJIKA HAPA!!! UWE MKE WANGU

ILI UJUMBE WAKO WA KUTAFUTA RAFIKI AU MCHUMBA UENDE HEWANI TUMA TSH 500 KWENDA MPESA 0762698698 AU TIGO PESA 0719698698

NAMBA YA KUTUMA SMS NI 0719698698

Mimi ni nina umri wa miaki 18 nimezaliwa 95 ni mvulana, nimemaliza  form four 2012 so naenda A level kesho kutwa.
Mim namtaka binti mrembo mweupe,  dini yoyote awe saiz, yan awe na umbo kama la lulu vile ila asinsihisi vibaya kumtaja lulu sio kama namzimia ila ni mfano. awe na elimu sio chini ya 4m4, AWE MCHAMUNGU, awaheshimu mama yangu na ndugu wengine yan inshort awe na upendo kwa watu wote.
mimi niko na mama yangu na ni mtoto pekee, alitengana na baba baada ya baba kuanza mambo yake ya ajab na akafariki mwaka 2003 so ningependa asitofautiane sana na mazingira yangu aje tuliwazane nijihisi mimi kama sio nliepata hilo tatizo peke yangu tuu bali kama kuna mwenzangu pi ntafarijika na mama pi atafarijika kumpata mama mwenzake pia, ila kama vp poa namtaka mpenz mwenye utu asiwe na tamaa awe mtu anaejituma na anaependa maendeleo na anaejua mapenzi ni nn, nitampenda milele sitomsaliti kamwe, mm had na umri huu cjawah mpata so ndo hivyo huwa najisalia mwenyewe kwenye blanket usiku ila naamin iko siku nitampata tuu sitokata tamaa. nlishachunguza saana mmmmmmh ila sijampata bado had umri huu. awe amezaliwa kwanzia 93 had 97 tuu, awe mwaminifu, kupima ukimwi muhimu sana.
mm nko poa na afadhali mama alisepa mapema maana cjui kingetokea nn ila najua ni mipango ya mungu tuu.
jaman aje tupange maisha yeye ndo atakua moyo wangu. tupeane mamboz jaman uuuuuuuwi GOD help me plz,ila mm naamin dunian ni wawili wawili so i my dream iz on miy mind and i wsill never get tired,
 plz ppoz be serios i am not joking men
mm ni mweupe kiduchu yan  mm ni maji y kunde iv wa size c mrefu saana wala c mfup saana na sio mnene sana wala mwembamba sana ila mtu wakati tuuu.

 mungu ndie muweza wa yote so yote namwachia mungu .moshi kilimanjaro kwa wajanja pi cbagui kabila i nee true thats why am slowly.
Huyo mrembo mtarajiwa anichek kwa hii email bac plz be siriaz jokes wala unafik au kupimana ctak amen.

email hiin hapa ww mrembo kijacho yan nkikupata........???????? cjui ntamwambiaje mungu.

bluejm7@gmail.com


ILI UJUMBE WAKO WA KUTAFUTA RAFIKI AU MCHUMBA UENDE HEWANI TUMA TSH 500 KWENDA MPESA 0762698698 AU TIGO PESA 0719698698

NAMBA YA KUTUMA SMS NI 0719698698