@NEW FRIENDS DEC 2012 CLICK HERE



 KAMA KAWAIDA WASOMAJI WETU WA NASMILETZ,LEO KWA MARA NYINGINE NAWALETEA SMS AMBAZO NIMEZIPOKEA WIKI HII KUHUSU WALE WANAOTAFUTA MARAFIKI,WACHUMBA N.K NAMBA YA KUTUMIA NI ILE ILE 0719 698 698  


Naitwa JAMAL ISMAIL nina miaka 25 naish dar. Natafuta mwanamke ambae atakuwa mpenz wang.Awe mnene rang yoyote. Umri wake awe kuanzia miaka 18_24 tuwasiliane kupitia no. 0717598000/ 0784523280. Beep au tuma sms utajibiwa wakati wowote. Staki utani awe mkweli

Naitwa JOHN umri wangu 24,umbo mwembamba kiasi,rangi mweupe,elimu chuo,naishi Dar,natafuta msichana tutakaye anza naye kama marafiki,mchumba then ndoa kama tukipendana.mawasiliano  0654073335.

Naitwa Deus Paul naishi Dar es salaam.Natafuta rafiki wa kike
Namba yangu  ni 0656264642.

MIMI NI ALLY NI MVULANA NATAFUTA MSICHANA WA KUCHATI NAE KIMAPENZI RIKA LOLOTE ASIWE MKE WA MTU MAWASILIANO 0714879446

Helo how you ma name iz miriamu natafuta mchumba mwislam awe dar awe na age 28 kuendelea mrefu elimu kuanzia diploma mm nina 24 elimu yangu nina certificate ya procurement atakayekuwa na vigezo ivyo anitafute kupitia 0719831074

 Hi nilitembelea blog yako ya NASMILETZ.Nikaipata hii namba.Naitwa Joseph,ni muhitimu wa chuo kikuu natafuta mchumba.Aliye tayari tuwasiliane kupitia josephmtonga@ymail.com Au my phone number 0714999223.

Alpha Cool wa Dar.Natafuta Suger Mama Makini,Mwaminifu tujenge Maisha.Namba yangu ni 0717309402

NAITWA PAUL JUMBE NATAFUTA MPENZ AMBAE ATAKUWA MKE WANGU SMS ZOTE ZITAJIBIWA NO 0767397965

Naitwa Sam nipo pande za magugu manyara natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana mawazo miaka 18 hadi 24 mimi nina miaka 28 namba yangu ya simu ni/0755 800 949 na 0787 800949

Naitwa Sam nipo pande za magugu manyara natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae na kubadilishana mawazo miaka 18 hadi 24 mimi nina miaka 28 namba yangu ya
 simu ni/0755/800,949na 0787/800,949




0 comments:

Post a Comment

sema nasi hapa!!