LIL WAYNE KUACHA MUZIKI
Msanii machachari nchini marekani,Lil wayne amesema kwamba albamu yake ya Tha Carter V itakuwa ni ywa mwisho kwake na ataendelea kudeal na vitu vingine .
''Ha hah aha nimeanza muziki tangu nikiwa na umri wa miaka 8 na sasa nina miaka 30,ni mtu mzima sasa na nina vitu vingine vingi tu vya kufanya tofauti na muziki,hivo hii itakuwa ni albamu yangu ya mwisho''alisema wayne
0 comments:

