"BOB MARLEY NDIO NJIA YANGU ILIYONIFIKISHA HAPA"-SEAN PAUL
Tarehe 6 February, mashabiki wa rege duniani walikuwa wanasherekea miaka 67 tangu azaliwe msanii mkubwa wa rege duniani Bob Marley
Sean Paul, amabaye ni kinara na mhimili mkubwa kwa sasa katika muziki wa rege na dancehall amesema anamshukuru msanii huyo kwa kumuonesha njia iliyomuwezesha yeye kufika hapa alipofikia..
“Ni mtu wa muhimu sana kwangu,namuheshimu mpaka sasa” alisema Sean Paul alipokuwa anahojiwa na Reggaeville.com.
“Bob
Marley ni kama mtu aliyekuwa ananiwekea rami katika barabara ninayo tumia ili nisipate vikwazo njiani, . kama sio yeye sijui sisi tungekuwa wapi saizi" alisema.kwa sasa msanii huyu anatesa na wimbo wake mpya unaoitwa HOW DEEP YOUR LOVE akiwa Kelly Rowland
Sean Paul, amabaye ni kinara na mhimili mkubwa kwa sasa katika muziki wa rege na dancehall amesema anamshukuru msanii huyo kwa kumuonesha njia iliyomuwezesha yeye kufika hapa alipofikia..
“Ni mtu wa muhimu sana kwangu,namuheshimu mpaka sasa” alisema Sean Paul alipokuwa anahojiwa na Reggaeville.com.
“Bob
| Sean Paul - Hold You Tonight .mp3 | ||
| | ||
| Found at bee mp3 search engine |
0 comments:

