SOMA KICHEKESHO CHA HUYU SOKWE




Jamaa mmoja alienda kuomba kazi kwenye ZOO. Akaambiwa nafasi ya kazi ipo ila hakuna sokwe" hivyo utajifanya sokwe na tutakupa ngozi ya sokwe utavaa" Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri. Siku iliyofuata banda lake liliwekwa kwa juu ya banda la simba. Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbayasi akaangukia ndani ya banda la simba. Akawa anapiga kelele "mama nakufaa!" Mara yule simba akamwambia "acha ufala wewe kelele za nini sasa, mimi mwenyewe binadam!, rudi kwenye banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia.