HEBU SOMA HII KISHA SHARE KWA WENZAKO!!! HAHAHAH WANAWAKE WA SIKU HIZI BWANA

Mume: Hello baby! Mke: Hello sweety. Mume: Nitachelewa kurudi leo. Mke: Nishakujua uko kwa wanawake wako! Jianaume lihuni kama nini! Sijui ilikuaje nikakubali unioe! Nakuchukia kama nini. Sikupendi! Sikupendi!!! Mume: Niko BENKI hapa. Mke: Haa! Ulijuaje kama sina pesa, niletee laki 1 baby, nakupenda sana kuliko roho yangu, nakutengezea maji ya kuoga sweety. Usisahau hizo pesa, ninunulie na chips kuku...mwaaaah♥ Mume: NI BENKI YA KUCHANGIA DAMU mpenzi!.. Mke: Nyoooo...waambi -e wakutoe yote!!