new friends online!!!!!!

Haya wale wadau wangu mnaopenda kutafuta marafiki na kushare ideas mbalimbali kama kawaida ya blog hii kuwakutanisha marafiki kila siku,leo tena nawaletea wafuatao ambao wanaweza kuwa rafiki zako..usisahau kutuma sms kwenda namba 0719 698 698 na kisha andika ujumbe wako kuhusu marafiki unaotafuta bila kusahau jina na mawasiliano yako.

NAITWA ALLY CHETTE WA UBUNGO RIVERSIDE,NATAFUTA RAFIKI WA AINA YEYOTE NA DINI YEYOTE.NAMBA YANGU NI 0714 779 083 

 NAITWA PJ,POUL TOKA MWANZA MAGU,IM 21 YRS OLD,NATAFUTA MCHUMBA WA MAPENZI YA KWELI,AWE MWAMINIFU,AJUE KUSOMA NA KUANDIKA,UMRI WAKE 16-18,MAWASILIANO 0787 130 567 AU 0764 199 741 EMAIL pj,poul@yahoo.com 

Naitwa Salim Athuman, umri wangu ni 27, kwa imani ni Muislamu na kwa sasa ninaishi DSM.
Nahitafuta msichana mwenye umri kati ya 22 hadi 25 na sifa kubwa awe Muislam na mwenye kujiheshimu na kujistiri.
Itakuwa vizuri awe mweupe/ maji ya kunde, mrefu kiasi na mnene kiasi na mwenye elimu at least diploma.

Dhumuni kubwa ni kuwa mchumba wangu kwa sasa na hatimaye Mungu akipenda tuje kufunga ndoa na kuishi pamoja
hapo baadae. Kiukweli nimevumilia sana kuwa mwenyewe kwa kipindi chote nilichokuwa nasoma, japokuwa kwa sasa bado naendelea na elimu zaidi ila nahitaji na mimi kuwa na mwenza wangu. Tafadhali kama upo tayari kuwa nami naomba
tuwasiliane.

email yangu: salimathuman78@yahoo.com

Namba ya simu itafuata baada ya kujuana vizuri

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21 natafuta girlfriend chini ya miaka 20 awe mweupe anayejipenda awe na malengo. Kama huna vigezo pita tu
No. 0717057552

Comments