RIHANNA ALALAMIKIA WEMBAMBA WAKE

 Rihanna, 24, alizungumza na  KIIS-FM radio amefunguka kwamba diet yake inamkataa kabisa siku hizi.Amesema kwa muda  wa mwaka mmoja sasa akiwa anaitangaza almabu yake ya tano ya LOUD anazidi kupungua uzito kila siku zinavyosonga mbele.. Japokuwa anakula vizuri na kujipangilia ratiba nzuti ya kula bado imeonekana kutomsaidia kabisa kumuongezea uzito wake."Nashindwa nifanye nini kwa sasa nimejaribu nimeshindwa"anasema rihanna.

baadhi ya mashabiki wake wanadai labda ni kutokana na shoo za mara kwa mara anazofanya zinasababisha hayo.

Comments