vituko uswahilini pt 1

  • Madokta kutoka Europe waliomba sample ya damu ya mtanzania wa kawaida mwenye afya. Walipotuma, majibu yao yalikuwa yamshituko
    "Watanzania tafdahalini!! masikhara kila sehemu basi? Mbona mumetutumia damu ya mtu aliekufa? tena muda mrefu?"

    Madokta watanzania wakashangaa,
    "Huyoo mbona yuko haii?? ana afya, na ni mbeba mizigo gatini??"

    Kuna mwehu mmoja aliamua kumfata baba yake na kumwambia kuwa anataka kumlipa fadhila zooote alizomfanyia halafu wasijuwane....

    Yule mzee kawaza halaf akamwambia: Haya baba, nimekubali, kwa kuanzia mlete mkeo nae nimnyonye matiti yake....

    Kijana mdomo waaziii....

    Dah ama kweli fadhila za wazazi hazilipiki...
    Yawaaaa!!!!
    ‎#18plus: Jamaa alisahau kuzima simu wakati ana Swali. simu ikaita! Akaingiza mkono mfokoni kuizima, akaipokea kwa bahati mbaya! Wakati anasjudu akasiki "Honey mbona husemi? umenuna?".. Akajaribu kuizima tena, akaweka Loud speaker kwa bahati mbaya! Mskiti mzima wakawa wanaskia
    "Hata usiposema! Ila leo honey nyege zinanisumbua! Natamani kut*wa! Njoo unit*e dia! Ntakukatikia mpaka asubuhi! Hata tigo ntakupa leo, maana huo ndo ugonjwa wako nakujua mieee"

  • Jamaa alimwambia babaake anataka kumlipa fadhila zoote, baba mtu akamwambia
    "Hayaa mlete mkeo nimnyonye maziwa kama ulivyomnyonya mke wangu!"

    Nothing personal
    ‎#kali.. #Tanesco @TANESCOtz
    Ngeleja alikuwa anamwambia rafiki yake, " Daaah! nimesahau kum-wish mama yangu mothers' day leo".. Rafiki yake akamjibu,
    "Usijali, nahakika sasa hivi mamilioni ya waTanzania wanamkumbuka na kumtaja mama yako"....

    Nothing personal.. Just jokes eee!
    Baba mkwe kapewa fursa ya kutoa nasaha kwenye harusi ya bint wake: Akaanza: SITAKI MAMBO YA KISENGESENGE. KUMTESA BINT WANGU. NIKISIKIA TU KAPIGWA BASI NITAFIRA FAMILIA NZIMA, KUMANINA ZENU.SITAKI AKIKUKISS KIDOGO UNATAKA KUMTOMBA, KUMTOMBA IWE NI MARA 1 KWA MWEZI SIO UGEUZE KUMA YA MWANANGU DODOKI LA KUOSHEA MBOO NA PUMBU ZAKO! UMENIELEWA.
    Bwana harusi kimya!!!!

  • Mgonjwa wa kusahau alienda kwa dokta kupata dawa juu ya ugonjwa wake. Alipomuelezea daktari ugonjwa wake, akamuandikia dawa "Na hizi ndo dawa kwa ajili ya huo ugonjwa wakoo".. Jamaa akajibu
    "Ugonjwa ganii huo daktarii mbona unanzinguaaa??!"

    Nothing personal..
    Two men from Italy get onto a bus in London. They sit down and engage in an animated conversation. The lady sitting next to them ignores them at first, but her attention is galvanized when she hears one of them say the following:
    "Emma come first. Den I come. Den two asses come together. I come once-a -more! . Two asses, they come together again. I come again and pee twice. Then I come one lasta...See More
    Mwalimu mmoja wa kipindi cha dini aliingia class akiwa amechoka...
    Kuingia tu akawapa vitabu wanafunzi wasome kisa cha watu wa pangoni (as-habul kahf) na yeye akapitiwa na lepe zitto la usingizi na kuuchapa pale mezani kwake.

    Mara akaingia mkaguzi wa walimu, mwalimu aliposhtuka kutoka usingizi wake akaichomekea "HIVYO NDIVYO WALIVYOLALA AS-HABUL KAHF PANGONI".....
    ‎#kali: Mwizi (Jinga) aliingia kwenye akaiba vitu vingi pamoja na TV akasahau kuiba rimoti. Akapata tabu saana kuiuza ile TV kwasababu haina rimoti. Akafikiria, akaamua kumfuata mwenyewe.. "Nadhani utakumbuka kulitokea wizi, na mimi nilisahau rimoti na napata tabu kweli kubadilisha channel kwasababu sina rimoti. Soo kama bado hujaitupa rimoti tafdhali utanisave kweli kama utanipa. Ahsante"

  • ‎#kaliKibomu: Vishoga viwili vilikuwa vimeboreka. mmoja akamwambia mwenzake "tucheze mchezo, natoa kitendawili, ukipata unani*** mimi na ukikosa naku*** wewe". Mwenzake akamwambia sawa. Akatoa, "Ni mnyama gani, anapenda kukaa jikoni na analia meoow meeooow".. Mwenzake, akajikosesha maksudi, "aaa, samaki!".. Aakamwambiaa "Aaa, UMEPATAAA"

Comments