TIMBULO TUFAHAMISHE KWA HILI!!!

timbulo

Kuna nyimbo nimezisikiliza hivi karibuni katika mitandao tofauti tofauti toka kwa KUNDI ZIMA  LA X-MALEYA ambazo ni tchokolo na mwingine unaoitwa yelele.baada ya kuzisikiliza ndipo nikagundua hii kitu,kuwa huyu msanii wetu anaitwa Timbulo anafanya kazi ya kuzirudia nyimbo hizo kwa kiswahili.Yaani  anachofanya ni kunakili melodi ya muziki wa maleya  na kubadili kwa maneno yake mwenyewe.
x maleya

x maleya




 Sikuweza kujua kama kuna makubaliano yoyote kati ya Timbulo na X-maleya kuhusu copy hizo au ni usanii tu uliofanywa na Timbulo.

nitamtafuta Timbulo ili atueleweshe kuhusu hiyo ishu then nitawaletea majibu kupitia hapa hapa.TABASAMU

HIXI HAPA CHINI NI COPY NA ORIGINAL

MALEYA-YELELE

TIMBULO-DOMO LANGU




ALAFU PIA SIKILIZA NA HIZI HAPA UONE COPY N PASTE ZA TIMBULO







HAYA SASA HIZO NDIO KAZI NNE AMBAZO SIJAZIELEWA IMEKUAJE KUAJE?? LABA MDAU WANGU UNA CHOCHOTE CHA KUCHANGIA KUHUSU NYIMBO HIZO!!! USISITE,COMMENT HAPO CHINI ILI TUJADILI PAMOJA

Comments