ALIYEBAKWA NA HADI KUFA SIO MODEL WA VIDEO YA DIAMOND- SALOME


Mwanzoni mwa  wiki hii zilisambaa habari kuwa lilia(yule  model wa video ya diamond,salome) ameuwawa  na watu wasiojulikana.Lakini habari hizo hazina ukweli wowote kwani Liliani amejitokeza na kusema kuwa aliyeuwawa ni mtu mwingine sio yeye

Ukweli ni kwamba Lilian sio Msichana aliyeuwawa, aliyeuwawa ni mwingine huko Arusha na Polisi wamethibitisha kuuwawa kwake.