NILISHAWAHI KUJISAIDIA MAKUSUDI KITANDANI KWA DEMU WANGU-HAMMER Q

 VITUKO VYA MASTAA

Hii inaweza kuwa ni kama vile utani au propaganda eeh!!!Unajua katika maisha ya binadamu kila mtu kuna vitu fulani anavipitia katika maisha yake.Katika vitu hivyo vipo vile vya kustaabisha au kuchekesha endapo vitasikika kwa watu wengine.Leo basi ikiwa ni katika kukamilisha mwaka 2012 basi nitakuwa nakuletea vituko vilivyowahi kufanywa na mastaa wetu wa hapa bongo,either wakiwa wadogo au ukubwani,na anayetufungulia leo ni msanii machachari wa bongo flava na taarabu,Hammer q.

Hammer q yeye kituko ambacho amewahi kukifanya katika  maisha yake ya ukubwabi ni hii hapa kama alivyofunguka yeye mwenyewe katika kujibu swali langu la kituko gani alichowahi kukifanya??nae akajibu hivi

""Nishaiba sana machungwa na mafenesi kipindi niko rika la kati na ukubwani nilishawahi jisaidia haja kubwa tena makusudi kwenye godoro la dem wangu ktk chumba chake nilienda kwake sikumkuta wakati alishanambia yupo kwake nikaona ili ajue km nilipita kwake nikapiga kimba kisha nikatandika shuka""

HICHO NDICHO KITUKO ALICHOWAHI KUKIFANYA MSANII HAMMER Q,ALIYEWAHI KUTESA NA NGOMA LA LADY.JE UNA NINI CHA KUSEMA JUU YA KITUKO HIKI??? USISITE KUSEMA HAPA CHINI..COMMENT

0 comments:

Post a Comment

sema nasi hapa!!