KAVA LA FILAMU MPYA ALIYOFANYA SHARO MILIONEA
.

Bado familia ya Majuto iko kwenye mazungumzo na kampuni ya zamani aliyokua akifanya nayo kazi Sharo Milionea ambayo ndio ina picha za Sharo zilizo kwenye soft copy, mazungumzo ya mwanzo yamehitaji walipe pesa kuzipata hizo picha kwa kiasi kisichopungua milioni moja za kitanzania ila bado yanaendelea,
soma habari hii kwa kina zaidi http://millardayo.com/sharo-2/
0 comments: