JE WAJUA!! MATUMIZI YA IPAD NA BLACKBERRY NI HATARI KWA AFYA YAKO

Utafiti unasema kuwa ukiwa na tabia ya kuangali televisheni hadi usiku mpevu kila mara basi unakaribisha maradhi ya moyo au depression.-kudorora kwa afya.
Profesa Samer Hattar Marekani anasema utafiti umegundua kuwa televisheni na komputa ya iPad inatoa mwanga usistahili wakati mwili unahitajika kulala.
Hivyo kutumia iPad na televisheni usiku sana inaweza kusababisha maradhi ya moyo au mtu kukosa raha maishani au kutompenda starehe au mkuwa mtu pweke, kutumia iPad au televsiheni kila mara usiku sana kunasababisha upweke.
PIA

Simu ya Blackberry ina madhara Utafiti umethibitisha kuwa Simu hii inaweza kusababisha matatizo ya kujikuna kuna. hii nikutokana na madini yaliotengenezewa simu ya Blackberry.
Mtumiaji wa simu ya Black berry pia anaweza kuwa na uvimbe au vipele mshavuni, usoni.
Wanasayansi wanasema yeyote mwenye matatizo ya Allergy basi aepuke kutumia simu ya Blackberry.

Comments