JARULE KUINGIA MTAANI FEBRUARY

Rapper na Mwigizaji Ja Rule anatarajiwa kutoka jela February 21,2013 kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari kimesema Ja Rule atatoka mapema kutokana na tabia na nidhamu nzuri aliyo onyesha akiwa jela kwa muda wote toka alipoingia June 21,2013. kwa kosa la kutembea na kumiliki silaha kinyume cha sheria mwaka 2007...

Comments