Jackie chan azushiwa kifo
Mcheza filam wa muda mrefu nchini china,Jackie chan (56) amezushiwa kifo baada ya mtandao mmoja unosemekana ni wa watu wabaya kutuma ripoti hiyo katika mitandao ya kijamii kama vile tweeter na fb ukieezea kuwa msanii huyo amekufa kutokana na matatizo ya moyo.
0 comments:


