ITALY YAICHAPA UINGELEZA

 Timu ya taifa ya Italy imefanikiwa kuingia nusu fainali za euro 2012 baada ya kuifunga kwa penati timu ya taifa ya Uingereza.





          Timu ya Italy imefanikiwa kuingia nusu fainali za euro 2012 kwa kuifunga timu ya taifa ya England kwa jumla ya goli 4-2 baada ya kutoka 0-0 kwa dakika 120.

Comments