mikosi yazidi kumuandama Lindsay Lohan
Ikiwa bado ana ONYO la kuwa raia mwema muigizaji lindsay lohan amekumbwa na balaa jingine baada ya kumgonga na gari meneja wa club mmoja ya burudani hivi juzi.
Imeripotiwa kwamba wakati akitoka katika club maarufu ya Sayers Club mjini Hollywood jumanne usiku alimsababishia maumivu ya mguu meneja wa club hiyo baada ya kumgonga kwa bahati mbaya na gari yake aina ya Porsche wakati akiwa anageuza gari hilo kwa ajili ya kuondoka.
Hivi karibuni lindsay amekuwa ni story katika vyombo mbalimbali vya habari kutokana na matukio yanayomtokea.
0 comments: