vp umecheka leo???? kama bado unangoja nini...hebu bofya hapa
Mhaya na mapenzi
mama mmoja wa kihaya alidu na msukuma msukuma akawa hajui kupiga
katelelo akaingia moja kwa moja kamailivyo kawaidayetu manguvu kwa sana,
mhaya akashitukia mzeekipara amesha zama mhaya akaluka nakusema yoo
wandisoruzoka.yaani umenilisha nyoka?
Hawa machizi kupona baadae saaana!
Dokta wa vichaa aliwachukua machizi wawili na kuwaingiza kwenye
chumba chenye giza totoro.Akawasha tochi kisha akawaambia wale machizi
wapande ule mwali wa mwanga kisha waelekee makwao. Chizi wa
kwanza akaanza kuurukia ule mwali wa mwanga bila mafanikio huku chizi
mwenzie akiwa anagaragara chini hoi kwa kicheko.Yule dokta akamuuliza
yule chizi ni kwanini anacheka vile;yule chizi akamjibu:mi
nimeshakustukia mpango wako,unataka tukipanda huo mwali wa mwanga uzime
tochi yako halafu sisi tuanguke chini!
Mpipi wamkosesha mke
Kuna jamaa mmoja amejaliwa mpipi mkubwa alikuwa akioga mtoni basi
akapita mzee mmoja hivi na kuuona ule mpipi wa kijana na kujisemea "Hapa
duniani kuna watu wamejaaliwa ebu check mzigo wa yule kijana" kisha
akaenda zake.
Baada ya siku chache ikaletwa posa kumposa binti ya yule mzee, washenga
wakakamilisha mambo yote ikabaki utambulisho wa mkwe mtarajiwa.
Sasa kimbembe ni siku ya utambulisho baada ya yule mzee kugundua kwamba
mkwewe mtarajiwa ni yule kijana aliyekuwa akioga mtoni unaambiwa mzee
uligoma kata kata kumuozesha bintiye na kumpasha live yule jamaa "kha
weye kijana una wazimu nini? hivi mdushelele wote huo ulionao
unategemea nikupe binti yangu?
Mtawa na shehe
Mtawa kazini na shehe akaenda kutubu: padri ;sister nawewe umekuja?
sister:nimetereza, pdr:kuteleza siyo zambi. sst:nimezini na shehe:
pdr:zambikubwa sana njoo nyumbani kwa maombezi maarum. alipoenda pdr
akamu du nakusema tunatoaushe tunaingiza updr