facebook kuruhusu watoto wa chini ya miaka 13
Kama unavyojua kwa sasa facebook inaruhusu watu kuanzia miaka 18 kujiunga na mtandao huo,lakini kutokana na utafiti uliofanya imegundulika kuwa watoto wengi sana wamekuwa wakiendelea kujiunga katika mtandao huo maarufu duniani na wengi wao wakiwa ni kati ya miaka 10 hadi 13.
0 comments:


