Whitney kuzikwa jumamosi

Mwili wa marehemu  Whitney Houston tayari umeshasafirishwa kwao Newark, N.J., ambako  mwanamuziki huyo maarufu atazikwa jumamos ijayo ya tareh 18 feb .Imeelezwa kuwa ibada ya mazishi itafanyika katika kanisa la   New Hope Baptist,amabko ndipo mwanamuziki huyo alipoanzia.

Mwili wa Houston uliwasili mapema jumatatu hii (Feb. 13) kwa ndege binafsi ianyomilikiwa na Tyler Perry.Baadae polisi walisindikiza mpaka Whigham ambako atazikwa, sehemu ambyo alizikwa baba yake mwaka 2003.

0 comments:

Post a Comment

sema nasi hapa!!