J LOPEZ NA MARCK ANTONY KUACHANA
NEW
YORK (AP) - Pamoja na ndoa tatu kushindwa baina yao, Jennifer Lopez na
Marc Anthony hatimaye walionekana kupata upendo wa kweli pamoja wakati
ndoa miaka saba iliyopita,kuzaa mapacha na kucheza movie pamoja,hatimaye ijumaa ya wiki iliyopita walitangaza kuachana rasmi.
J lo kabla aliwahi kuwa na uhusiano na ben afreck wakati marck anthony nae alikuwa ameaachana na Miss Universe Dayanara Torres.daaaaaaaah
0 comments:


